Washaachiwa kitambo sanaas
Esse e o time da seleção brasileira chegando para copa do mundo
Walishaa achiwa acha upotoshaji mnatumia mitandao vibaya
Pole yao lakini tujifinze, tuepuke ushawishi wowote ambao una viashiria vya uhalifu, uvunjifu amani au kukinzana na mamlaka. Kama Kuna uhalali wa kudai haki basi iwe kwa amani kwa kuzingatia Sheria, ona Sasa wale washawishi wote kwa Sasa hawana msaada wowote MUNGU ibariki TZ.
Si mnachukua nchi afu mwatoe wenyew ..ma zerobrein
Mange kimambi kawa ingiza mkenge mwenzao yupo ulaya wao wateseka na familia za teseka
Waliowatuma kuandamana wanakunywa juice ya miwa na popcorn marekani, Kenya, Japan nk
Hawajabadilisha nguo Hadi leo
Inauma sana,but Dunia hii!!!???
Mukawasaidiee ,,, nyinyi mkiowahamasisha
Mungu ni mkubemwa wa kila k2 hakika anaona kila k2 yeye ndio mbora na yeye ndiye mwenye hukumu Allah bariki kwa kila jambo Amiin 🙏🏽
Wacheni UJINGA video ya zamani hii
Sina taarifa kama wote wametolewa lakini najua kuna baadhi walitolewa miezi ya nyuma na wawili walichangiwa pesa za kutosha
Kwan Ruto amekuja akapiga wa Tz risasi ya mguu
Watanzania tulahani upumbavu ulio tokea ambaye hakufariki aliishia kilema watu wamewekwa virema vya maisha uutu uko wapi mungu watu wambinguni wewe ndie mweza yote wapate adhabu ya huarifu walio fanya pole tena ndugu zetu arafu nyie ndio mnaenda Kama waarifu wako ndio inocent
Wewe mbona haujafa wala kuwa kilema siku ingine saidia jamii kabla ys janga ukisikia mtu anakuambia anakinukisha anzia hapo hapo kumzuia. Ili kusiwe na vifo na vilema huo ndio mwanzo mwema. Ila kama mtu anakinukisha basi tuwe tayari kunusa.
INSHAALLAH SAMIA ALLAH WILL PUNISH YOU INSHAALLAH
Yan hao waliobaki uko niwale ambao hawana ndugu wa kuwasemea wala kuwalilia pia niwale masikin ambao hata waombwe 100k ili mambo yawemepes hawana
Iyo dhambi itawala askar magerez wot na serikal ya wauwaj
Hii serikali ya kishenzi sana sasa kama Hawa wagonjwa unawaweka jera ili wafie huko jamani 😢 😭 hii sio haki kabisa
WAWAITE WALOWAHAMASISHA KUFANYA FUJO
Yan hao waliobaki uko niwale ambao hawana ndugu wa kuwasemea wala kuwalilia pia niwale masikin ambao hata waombwe 100k ili mambo yawemepes hawana
Wacha wapate haki yao. Ni wezi hao